Lyrics Labs
Mama La Mama Lyrics - Artist : Rayvanny
Mama, mama, mama
La mama eeh
(Ayolizer)

Mola amenipa sauti niimbe
Nakuimbia wewe, ai
Woman of my life baby mama
Nakupa mabawa, fly

Nani ata dawa utapime
Uzuri wako wewe, mine
Material wife huna drama
Niende kwa mwingine, why?

Cha mapenzi kinaa kipime
Uone dhahiri upendo wangu
Usije kunitupa wewe (Aaah wewe)

Sina mwingine
Na sitobadili chaguo langu
Moyo wangu nakupa wewe (Aaah wewe)

Chocolate colour nywele laini
Lips mafuta na zina shine
Nguo za kung'ara your design
Thanks to the Lord now you're mine

Sema pwani ama mabara wapi fine
Tukitoka out tukanywe wine
Figure 8 kinara sio nine
Unapenda wasafi tutaku sign

We ndo mama mama, mama la mama
We ndo mama mama, mama la mama
We ndo mama mama, mama la mama
We ndo mama mama, mama la mama eeh

Nikitazama sura yake namwona modo
Naiona taswira ya adabu sioni nyodo
Nauona mpapai alafu unafwata embe dodo
Nawaona wasopenda amani wote macho kodo

Ah ningepeleka wapi hichi kichwa kigumu
Ningepata wapi mwanamke wa kudumu
Ajiunge na Wasafi tusukume gurudumu
Na mnajuaga sitaki haya mambo ya kunywa sumu

Aah mama la mama, ooh mama mia aah
Kwako nimezama nimezama, nimezamia aah
Nihifadhi kama maji kwenye mwili wa ngamia
Usijali kuhusu mambo ya tango na vibamia

Nichakaze shawty, nikanyage sorry
Kwangu kuwa mchaga asubuhi nile kama mtori
Tafadhali shawty usinipandishe mori
Na ukinipa nyama naila kama mnyama pori

We ndo mama mama, mama la mama
We ndo mama mama, mama la mama
We ndo mama mama, mama la mama
We ndo mama mama, mama la mama

Copyright © 2009-2024
Privacy policy - DMCA Policy - Contact Us