Lyrics Labs
Mdomo Lyrics - Artist : Harmonize
Hahaha, Jeshi
I really sound crazy (songs by Abbah)
Chinga
I wanna sing for my lady oh
Sexy lady mmmh

Wanaokesha wakiomba tuachane, wanaupaka rangi upepo
Ufe nikuzike tuzikane, kesho tukakutane kwa pepo
Hasi na chanya tugandane, kisha tuzidishe tempo
Bila sita saba na nane, hata kumi isingekuwepo
Tena unavyojisuuza hujikwezi
Sio wa kulala Buza ushinde Mbezi
Yani unawaburuza hawakuwezi
Umeniteka mama

Watoto wa Mombasa huko Kenya, wanaitamani ndizi ya kumenya
Wanajiuliza vipi umepenya, mpaka tembo hapindui
Akina Carry mastory wanakusengenya, na vile huwajibu wanajitekenya
Na ulivyo na sifa unanipa tena, yani mpaka asubuhi

Kifupi umeniziba mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo
Yani baby umeniziba mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo

Mmmmmh Yeah
Oh baby I don't even understand
Nahisi kama umenifanyia limbwata
Ila ndo mapenzi sishangai
Yeah
My baby, I don't want a one night stand
Mi kwako chizi nishadata, nitakupenda till I die
Maana unanipa mawenge (ngengenge)
Mara vichwa mara mwenge (ngengenge)
Kaja gym na kite (tengenge)
Ilimradi uchokozi
Aah onananana
Macho yanatazama mbingu, na mikono ushafunga na pingu
Kibaridi huko nje kuna wingu, mi namwa mwagaga machozi

Watoto wa Mombasa huko Kenya, wanaitamani ndizi ya kumenya
Wanajiuliza vipi umepenya, mpaka tembo hapindui
Akina Carry mastory wanakusengenya, na vile huwajibu wanajitekenya
Na ulivyo na sifa unanipa tena, yani mpaka asubuhi

Kifupi umeniziba mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo
Yani baby umeniziba mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo

Anataka niteleze kwa ute (Hana ubaya)
Nikitapika nisifute (Hana ubaya)
Ananifanya nisijute (Hana ubaya)
Hana
(Harmonize)
Say
Chumbani nikukute (Hana ubaya)
Na ganja mbili tuvute (Hana ubaya)
Na vumbi la Congo ulifute (Hana ubaya)
Hana
(The mix killer)
Kondeboy call me number one
Chinga yes number one
Number one
Hehe

Copyright © 2009-2024
Privacy policy - DMCA Policy - Contact Us